settings icon
share icon
Swali

Chukizo la uharibifu ni nini?

Jibu


Kifungu "chukizo la uharibifu" kinahusu Mathayo 24:15: "Basi, hapo mtakpoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu." Hii ina rejelea Danieli 9:27, "Naye atafanya agano thabiti na watu wangu kwa muda wa juma moja; na kwa nusu ya juma hiyo ataikomesha sadaka na dhabihu; na mahli pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata uomo, na ghadhabu iliyokusudiwa imemwagwa juu yake mwenye kuharibu." Katika mwaka wa 167 BC mtawala Kigiriki kwa jina la Antioko Epiphanies aliaanzisha madhabahu ya Zeus juu ya madhabahu ya sadaka za kuteketezwa katika hekalu la Wayahudi katika Yerusalemu. Pia alitoa nguruwe sadaka juu ya madhabahu katika hekalu la Yerusalemu. Tukio hili ni linajulikana kama chukizo la uharibifu.

Katika Mathayo 24:15, Yesu alikuwa akizungumza baadhi ya miaka 200 baada ya chukizo la ukiwa ilivyoelezwa hapo juu tayari ilikua ishatokea. Kwa hiyo, Yesu lazima wamekuwa alikuwa anatabiri kwamba baadhi ya wakati katika siku zijazo uchafu mwingine wa ukiwa ungetokea katika hekalu la Wayahudi Yerusalemu. Wengi wa watafsiri wa unabii wa Biblia wanaamini kwamba Yesu alikuwa akimaanisha Mpinga Kristo ambaye atafanya kitu sawa na kile Antioko Epiphanies alivyofanya. Hii imethibitishwa na ukweli kwamba baadhi ya mambo Danieli alitabiri katika Daniel 9:27 hayakutokea katika mwaka wa 167 BC na Antioko Epiphanies. Antiochus hakuthibitisha agano na Israeli kwa miaka saba. Ni Mpinga Kristo ambaye, katika nyakati za mwisho, ataanzisha agano na Israeli kwa miaka saba na kisha kuvunja na kufanya kitu sawa kwa chukizo la uharibifu katika hekalu la Wayahudi katika Yerusalemu.

uchafu wowote wa baadaye wa ukiwa, na utauondoa shaka yoyote katika akili ya mtu kwamba anayeiendeleza ni mtu inayejulikana kama Mpinga Kristo. Ufunuo 13:14 inamwelezea kuwa yaye anafanya baadhi ya aina ya picha ambazo wote wanalazimika kuziabudu. Kugeuza hekalu la Mungu aliye hai katika nafasi ya ibada kwa Mpinga Kristo kweli ni "chukizo." Wale ambao ni hai na kubaki wakati wa dhiki wanapaswa kuwa macho na kutambua kwamba tukio hili ni mwanzo wa miaka 3 1/2 ya kipindi kibaya cha dhiki kuu na kwamba kurudi kwa Bwana Yesu kumeonkeka wazi. "Basi kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu" (Luka 21:36 ).

English



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Chukizo la uharibifu ni nini?
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries