settings icon
share icon
Swali

Mashahidi wa Yehova ni akina nani na wanaamini nini?

Jibu


Dhehebu liitwalo hii leo kama Mashahidi wa Yehova lilianzia Pennsylvania katika mwaka wa 1870 kama darasa la Bibilia likiongozwa na Charles Taze Russell. Russell akaliita kundi lake “Uchao wa somo la Bibilia wa millennia.” Charles T. Russell akaanza kuandika mzururo wa vitabu ambavyo aliviita “Uchao wa millennia,” ambao ulikuwa ukubwa wa vitabu sita kabla ya kifo chake na vilikuwa na theolojia ambay mashahidi wa Yehova washikilia sasa. Baada ya Russell kufa mwaka wa 1916, Mfalme J.F. Rutherford, rafiki wa Russell na mrithi, alikiandika kitabu cha saba na cha mwisho cha msururo wa “Uchao wa millennia,” “Fumbo lilo kamilika” katika mwaka wa 1917. Mnara wa ulinzi wa Bibilia na kijitabu cha jamii vilianzishwa katika mwaka wa 1886 na haraka vikawa gari ambayo kupitia kwayo kikundi cha “uchao wa millennia” likaanza kusambaza mawazo yao kwa wengine. Kikundi kilijulikana kama “Warussell” hadi mwaka wa 1931 wakati, kwa sababu ya kugagwanyika wa utaratibu, likatiwa “Mashahidi wa Yehova.” Kikundi ambacho walitoka kikaitwa “wanafunzi wa Bibilia.”

Mashahidi wa Yehova wanaamini nini? Kwa kuutafakari kwa karibu sana msimamo wa kanuni yao kwa masomo kama, mwili wa Kristo, wokovu, utatu wa Mungu, Roho Mtakatifu na upatanisho wa Mungu na mwanadamu yaonyesha bila shauku yoyote kuwa hawashikilii kanunu ya msimamo wa Kikristo katika masomo haya. Mashahidi wa Yehova wanaamini kuwa Yesu ndiye Mikaeli malaika mkuu, kiumbe kikuu. Hii inahitilafiana maandiko mengi ambayo wazi yamtaja Yesu kuwa Mungu (Yohana 1:1,14, 8:58, 10:30). Mashahidi wa Yehova wanaamini kuwa wokovu unapatikana kwa ushirika wa imani, matendo mazuri na itiivu. Hii inahitilafiana maandiko mengi yasiyo hesabika ambayo yasema wokovu unapatikana kwa neema kupitia kwa imani (Yohana 3:16; Waefeso 2:8-9; Tito 3:5). Mashahidi wa Yehova wanakataa utatu wa Mungu, wakiamini kuwa Yesu ni kiumbe na Roho Mtakatifu kuwa ni nguvu za Mungu zizokuwa na uhai. Mashahidi wa Yehova wanakataa dhana ya Kristo kuwa thabihu kwa niapa yetu na badala yake wanashikilia kuwa nadharia ya ukombozi, kuwa kifo cha Yesu fidia ya dhambi ya Adamu.

Ni namna gani Mashahidi wa Yehova wanathibitisha kanuni hii isiyo ya kibibilia? Kwanza, wanasema kuwa Kanisa imeiharibu Bibilia katika karne zilizopita; kwa hivyo wameifasiri tena na tena Bibilia kwa kile wanakiita Fasiri mpya ya ulimwengu. Mnara wa ulinzi wa Biblia na kijitabu cha jamii zilipadilisha ujumbe wa bibilia kuifanya iingiliane na kanuni yao ya uongo, badala ya misingi ya kanuni yao kuwa katika mafunzo halisi ya Bibilia. Fasiri mpya ya ulimwengu imepitia katika toleo mbali mbali, vile Mashahidi wa Yehova walivyo pata maandiko ambayo yanahitilafiana na kanuni yao.

Mnara wa Bibilia unaweka imani na kanuni katika asili ya upanusi wa mafunzo ya Charles Taze Russell, Akimu Joseph Frankli Rutherford, na waridhi wao. Kikao simamizi cha mnara wa Bibilia na kijitabu cha jamii ndio kikao pekee katika dhehebu ambao wadai kuwa na mamlaka ya kuyafasiri maandiko. Kwa maneno mengine, chenye kikao simamizi chasema kuhusu ujumbe wo wote wa bibilia unachukuliwa kuwa maneno ya mwisho na mafikirio binafsi yamekataliwa sana. Hii inahitilafiana moja kwa moja na mafunzo ya Paulo kwa Timotheo (na kwetu pia) kuisoma ili ukubaliwe na Mungu, ili tusihitaji kuahibika tunapofunza neno la Mungu. Mafunzo haya ambayo yanapatikana katika 2 Timotheo 2:15, maelezo wazi kutoka kwa Mungu kwa kila mmojawapo wa mtoto wake kuwa kama Wakristo wa Beroya ambao waliyatafakari maandiko kila siku kuakikisha kuwa mambo ambayo yalikuwa yakifunzwa yaliambatana na neno la Mungu.

Vilevile hakuna kikundi cha kidini ambacho ni kiaminifu kushinda Mashahidi wa Yehova kwa kushiriki injili yao nche. Kwa bahati mbaya ujumbe umejawa na upotovu, uongo na kanuni ya uongo. Ni maombi yangu Mungu ayafungue macho ya Mashahidi wa Yehova kwa ukweli wa injili na mafundisho ya kweli ya neno la Mungu.

English



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Mashahidi wa Yehova ni akina nani na wanaamini nini?
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries