settings icon
share icon

Maswali kuhusu mbinguni na jehanamu

Je kunayo maisha baada ya kifo?

Ni nini hufanyika baada ya kufa?

Je! Jahannamu ni kitu cha kweli? Jehannamu ni ya milele?

Kiti cha hukumu cha Kristo ni kipi?

Hiki kiti cheupe cha hukumu ndio gani?

Tutaweza kuwaona na kuwajua marafiki wetu na washirika wa jamii huko Mbinguni?

Mbingu mpya, nchi mpya ndio gani?

Je! Watu huko mbinguni wanaweza kutuangalia chini na kutuona wale tungali bado duniani?

Mbinguni inafanana namna gani?

Je, kweli kuna Mbinguni?

Je, ni namna gani milele katika moto wa Jehanamu ni adhabu ya haki kwa ajili ya dhambi?

Je, kuna ngazi mbalimbali za mbinguni?

Je, kuna viwango tofauti vya adhabu jehanamu?

Biblia inasema nini kuhusu nafsi kupumzika?

Je! Vitabu kama vile dakika 90 mbinguni na dakika 23 katika Jahannamu msingi wake ni wa Kibiblia?

Biblia inasema nini kuhusu kifo?

Tutafanya nini Mbinguni?

Ninawezaje kushinda hofu ya kifo? Ninawezaje kuacha kuogopa kufa?

Je, ni taji gani za mbinguni ambazo waumini wanaweza kupokea mbinguni?

Hali ya kati ni nini?

Je, Yohana 3:13 inamaanisha kwamba hakuna mtu aliyekwenda Mbinguni kabla ya Yesu?

Biblia inasema nini wakati Mungu atatuchukulia?

Je! Luka 16: 19-31 ni mfano au akaunti ya matukio ambayo yalitokea kwa kweli?

Je, tunapata nyumba mbinguni?

Je! Watu wengi wataenda mbinguni au kuzimu?

Ni wapi waumin waliokufa wa Agano la Kale walienda?

Biblia inasema nini kuhusu kuzaliwa upya?

Je, tutakumbuka maisha yetu ya kidunia wakati tutafika Mbinguni?

Ufufuo wa kwanza ni nini? Ufufuo wa pili ni nini?

Nini mto wa uzima ni nini?

Ni tofauti gani kati ya Sheol, Kuzimu, Jahannamu, ziwa la moto, Paradiso, na kifua cha Ibrahimu?

Je! Kutakuwa na mitaa ya dhahabu mbinguni?

Je! Ni makosa kutaka kufa?

Ufufuo utafanyika lini?

Mbingu ni wapi? Na mahali pa mbingu ni wapi?

Jehanamu iko wapi? Je, mahali pa kuzimu ni wapi?

Je! Kuna maisha ya baadaye?

Kwa nini wazo la uharibifu wa milele si la kupendeza kwa watu wengi?

Je! Ni namna gani Milele katika Jahannamu ni adhabu ya haki kwa dhambi ya maisha ya mwanadamu?

Hali ya milele ya maumini ni gani?

Inawezaje kusema kuwa tuna uzima wa milele na bado huku tunakufa?

Je! Jahannamu ni mahali pa moto na kiberiti?

Je, milango ya kuzimu ni gani?

Je, kutakuwa na kitu kama jinsia mbinguni?

Je! Mbinguni inawezaje kuwa kamilifu ikiwa wapendwa wetu wote hawapo?

Ninawezaje kupata faraja na amani wakati nimempoteza mpendwa katiko kifo?

Biblia inasemaje kuhusu uzoefu wa kukaribia kifo?

Yerusalemu Mpya ni nini?

Tutakuwa na miili ya kimwili Mbinguni?

Je! Kifo cha kimwili kinahusianaje na kifo cha kiroho?

Je! Mwili wetu wa ufufuo utakuwa tofauti gani na mwili wetu wa sasa?

Ni nini kusudi la kuwa na tuzo mbinguni?

Kifo cha pili ni nini?

Ina maana gani kwamba kuzimu ni kutenganishwa milele na Mungu?

Je, itakuwa rahisi kwetu kufanya dhambi mbinguni?

Je, ninahitaji kufanya nini ili kusikia,' umefanya vyema, mtumishi mwema na mwaminifu 'wakati nitakapofika mbinguni?

Uzima wa milele ni nini?

Je, ni nani atakayeenda mbinguni?

Je, nani ataenda kuzimu?

Je, nafsi za watoto wa kuavya huenda mbinguni?

Je! Inamaanisha nini kuuacha mwili?

Je! Kila mtu atakuwa umri gani mbinguni?

Je! Tuna wakati uliowekwa wa kifo?

Kifua cha Abrahamu ni nini?

Je! Mungu aliumba kuzimu?

Wafu katika Kristo ni akina nani katika 1 Wathesalonike 4:16?

Je! Biblia inaelezeaje miili iliyotukuka tutakayokuwa nayo Mbinguni?

Je! Tutakula chakula mbinguni?

Mbinguni ni kubwa kiasi gani?

Je! Tutakuwa na sura gani Mbinguni?

Mungu mwenye upendo anawezaje kumtuma mtu kuzimu?

Je! Tutakuwa uchi mbinguni?

Jinsi ya kufika mbinguni-Je! kuna maoni gani kutoka kwa dini tofauti?

Je! Wakati wa kifo ni upi kulingana na Biblia?

Ikiwa kuzaliwa upya katika mwili mwingine sio kweli, ni kwa nini watu wengine hukumbuka maisha yao ya zamani?

Je! Kutakuwa na ngono mbinguni?

Je, tutalala mbinguni?

Je! kutakuwa na machozi mbinguni?

Tunawezaje kujiwekea hazina mbinguni?

Je! Ninawezaje kupata faraja wakati mpendwa ambaye hajaokoa amekufa?

Ni kwa nini Mungu anawatuma watu kuzimu?

Jehanamu inaonekanaje? Jehanamu ina joto kiasi gani?



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Maswali kuhusu mbinguni na jehanamu
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries