settings icon
share icon
Swali

Biblia inasemaje juu ya Mkristo kuwa na plastiki / upasuaji wa vipodozi?

Jibu


Biblia hasa haishughulikii Mkristo kuwa na upasuaji wa plastiki au upasuaji wa mapambo. Hakuna kitu katika Biblia kinaonyesha kwamba upasuaji wa plastiki ni, katika wenyewe, makosa. Hata hivyo, kuna mambo kadhaa ambayo mtu anahitaji kuzingatia kabla ya kuamua kama kwendea au kutoendea taratibu hizi. Kubadili mwili ya mtu ni jambo lisilo la asili, na daima kuna uwezekano wa hatari za madhara, kimwili na kisaikolojia. Hakuna mtu anatakiwa kujiruhusu mwenyewe kuweka "chini ya kisu" bila kwanza kabisa kutafiti njia mbadala, hatari, na madhara yoyote ya upande unaohusika na upasuaji. Mtu pia anahitaji kikamilifu kutambua motisha zake ya kutamani upasuaji. Kwa wengi aw ulemavu wa kimwili -kama maumbile au walisababishiwa-ni kawaida kutaka kupendeka katika jamii na kujisikia kuwa "wa kawaida." Pia kuna kesi ya upunguvu kidogo ambao ungeweza kusababisha mtu kujisikia na wasiwasi sana na yeye mwenyewe, kama vile kuna hali pua kuwa kubwa sana au kukosa umbo. Lakini wengi, kama sio zaidi, upasuaji wa plastiki ni majaribio la kutimiza hisia tupu katika njia ya kimwili, kuvutia, au kwa kutafuta kibali cha kutoka kwa wengine.

Mapambo ya kawaida hufanywa kwa mtindo ni pamoja na kunenesha matiti / hissar, toaji mafuta kutoka mwili, kupodoa uso, kunyoa kopa za macho, matako na hissar zingine za mwili, matibabu ya mshipa wa mguu, sindano ya kujidungia mafuta, na kuumbisha pua na uso. Takriban watu milioni mbili hujitoa wenyewe kwa aina hii ya taratibu kila mwaka, wakitumia fedha na kutoa sadaka ya wakati na faraja. Wakati ubatili unamsukuma mtu na kufanyiwa upasuaji, yeye amekuwa sanamu mwenyewe. Biblia inatuonya tusiwe ovyo au kujivuna (Wafilipi 2: 3-4) na tusifutie umati kwa njia huonekana (1 Timotheo 2: 9). Jambo lingine ni gharama. Hili ni kubwa la kutilia maanani kwa sababu watu wengi huwa na familia, na gharama ya upasuaji wa plastiki lazima kamwe ije kabla ya mahitaji ya familia. Biblia pia inatuambia kwamba tunapaswa kutumia kwa busara fedha ambazo Mungu ametupa (Methali 11: 24-25; Luka 16: 10-12).

Jambo muhimu zaidi la kufanya kabla ya kufanya uamuzi wa kufanyiwa upasuaji wa plastiki ni kushauriana na Mungu kuhusu suala hilo. Biblia inatuambia kwamba Mungu anajali kila wasiwasi wowote na hitaji tunalo, hivyo tunapaswa kuchukua matatizo yetu kwake (1 Petro 5: 7). Kupitia hekima na uongozi wa Roho Mtakatifu na Neno la Mungu, tuna uwezo wa kufanya maamuzi ambayo yatampendeza na kumheshimu. "Upendeleo udanganyifu, na uzuri ni ya kidunia; lakini mwanamke ambaye ana wasiwasi Bwana ni kusifiwa "(Mithali 31:30). Hata upasuaji wenye ujuzi zaidi hauwezi kushikilia nyuma mikono ya muda, na pasuaji zote ya mapambo hatimaye kuwa na matokeo sawa- kuzeeka. Hizo sehemu za mwili zilizo unuliwa, zitaanguka tena, na hizo nyuzo kimapambo zilibadilishwa makala usoni hatimaye zitakuwa kasoro. Ni bora kufanya bidii kunadhifisha mtu wa ndani, "bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyohariika, yaan roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu" (1 Petro 3: 4).

English



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Biblia inasemaje juu ya Mkristo kuwa na plastiki / upasuaji wa vipodozi?
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries