settings icon
share icon

Maswali kuhusu maisha ya kikristo

Mkristo ni mtu gani?

Je, wakristo wanahitajika kutii amri za agano la kale?

Ninawezaje kushinda dhambi katika maisha yangu ya kikristo?

Ninawezaje kufahamu mapenzi ya Mungu juu ya maisha yangu?

Bibilia inasema nini kuhusu kufunga kwa Wakristo?

Nitawezaje kuwahubiria marafiki na jamii yangu bila kuwakashirisha au kuwafukuza mbali?

Ni nini maana ya kukua kiroho?

Nitawezaje kuwasamehe wale wanaonikosea?

Ninawezaje kutambua satui ya Mungu?

Bibilia inasema nini kuhusu vita vya kiroho?

Mkristo wamwili ni nini?

Kwa nini ni Wakristo wote ni wanafiki?

Ni jinsi gani mimi naweza kuwa na furaha katika maisha yangu ya kikristo?

Kutafakari Kikristo ni nini?

Ukristo wa kiroho ni nini?

Kwa nini tunahitaji kukiri dhambi zetu kama tayari zimekwisha samehewa 1 Yohana 1:9)?

Kama nimeokolewa na dhambi zangu zote zimesamehewa , kwa nini nisieendelee kutenda dhambi?

Ni nini maana ya silaha zote za Mungu?

Ni wakati gani, ni kwa nini na ni jinsi gani Bwana Mungu anatuadhibu wakati tunafanya dhambi?

Ni namna gani Mkristo anastahili kupigana na hisia za hatia kuhusu dhambi za zamani, hata kama kabla ya au baada ya wokovu?

Biblia inasemaje nini kuhusu uhalali?

Mimi ni nani katika Kristo?

Yesu alimaanisha nini alipokuwa ameahidi maisha tele?

Kwa nini ni muhimu kutumia muda pekee na Mungu?

Je, upako ni gani? Ina maana gani kutiwa wakufu?

Wakristo wanapaswa kusimamaje kwa imani yao katika dunia inayo pinga Ukristo?

Je, Wakristo wana mamlaka ya kumkemea shetani?

Ninawezaje kuwa zaidi ya Kristo?

Ninawezaje kuwa na uhusiano wa karibu na Mungu?

Je, tunahitaji kukiri dhambi zetu kwa wale tuliotenda mouvu?

Ninawezaje kuwa shahidi bora wa Kristo katika ulimwengu uliopotea?

Ina maanisha nini kumfuata Kristo kweli?

Nimefanya dhambi ya _____ Je! Mungu atasamehe?

Ninawezaje kujua wakati Mungu ananiambia nifanye kitu?

Nita ishi maisha yangu kwa ajili ya Mungu vipi?

Je! Mungu anaahidi kutotupatia zaidi kuliko tunayoweza kustahimil?

Ninawezaje kushinda majaribu?

Je, ni makosa kuwa Mkristo kwa siri ili kuhifadhi maisha yako mwenyewe?

Je, utakaso kamili / ukamilifu usio na dhambi unawezekana katika maisha haya?

Ngome za kiroho — nini mtazamo wa Kibiblia?

Je, mateso kwa ajili ya Kristo daima yatakuwa sehemu kwa kuwa mfuasi wa Kristo?

Ninawezaje kuchukua udhibiti wa mawazo yangu?

Kwa nini Mungu anaruhusu sisi kupitia majaribu na taabu?

Ibada ya kweli ni nini?

Ninawezaje kujifunza kutumaini katika Mungu?

Ninawezaje kujua jinsi ya kumwabudu Mungu vyema?

Ina maana gani kukaa ndani ya Kristo?

Ina maana gani kurudi nyuma?

Kwa njia gani kuwa Mkristo ni vigumu?

Uongozi wa kibiblia ni nini?

Mkristo anapaswa kuitikiaje mateso?

Ufuasi wa Kikristo ni nini?

Uongozi wa Kikristo ni nini?

Je! Maisha ya Kikristo yanapaswa kuwa kama nini?

Je, ni kanuni gani za kibiblia za kufanya uamuzi thabiti?

Biblia ina maana gani inaposema 'tufie nafsi'?

Ninawezaje Kumtazamia Kristo?

Je! Biblia inatufundisha kusamehe na kusahau?

Biblia inasema nini kuhusu kujisamehe mwenyewe?

Tunawezaje kupata uhuru wa kweli katika Kristo?

Ina maana gani kumtukuza Mungu?

Ina maana gani kulinda moyo wako?

Waumini wanawezaje kuwa katika ulimwengu, lakini wasiwe wa ulimwengu?

Ina maana gani kuwa katika Kristo?

Ninawezaje kukuza imani yangu?

Ninawezaje kumfanya Yesu Bwana wa maisha yangu?

Sheria ya Kristo ni gani?

Ina maana gani kuwa dhabihu iliyo hai?

Ina maana gani kumpenda Bwana kwa moyo wako wote, roho, akili, na nguvu?

Ina maana gani kwamba tusipende dunia?

Kwa nini kuwafanya wanafunzi ni muhimu?

Ina maana gani kuwa mwanamke wa Mungu?

Ina maana gani kuwa mtu wa Mungu?

Ninawezaje kuwa na nia ya Kristo?

Ina maana gani kwamba Mkristo ni kiumbe kipya (2 Wakorintho 5:17)?

Mimi ni Mkristo mpya. Hatua ya pili ni gani?

Biblia inasema nini kuhusu kushinda tamaa?

Ninapataje shauku kwa Yesu?

Ninatuajeje ni ahadi gani za Mungu ni zangu?

Ninawezaje kupata ulinzi wa Mungu?

Ninawezaje kurejesha nafsi yangu?

Ina maana gani kutafuta ufalme wa Mungu kwanza?

Kwa nini nafaa kutamani kumtumikia Mungu?

Ninawezaje kushiriki ushahidi wangu wa Kikristo?

Je! Tunafanya dhambi kila siku? Je, inawezekana kwenda siku nzima bila dhambi?

Je! Wakristo ni wenye dhambi, watakatifu, au zote mbili?

Je, ni nini nidhamu ya kiroho?

Ina maana gani kuwa kizuizi kwa mtu mwingine?

Jinsi gani tutajiwasilisha kwa Mungu?

Yesu alimaanisha nini aliposema," Jitwike msalaba wako na kunifuata"(Mathayo 16:24, Marko 8:34, Luka 9:23)?

Mkristo ana asili mbili?

Kwa kuwa Mungu anazuia msamaha, tunaweza?

Kwa nini nizungumze kuhusu Imani yangu katika mahali pa kazi?

Ni tofauti gani kati ya Mkristo na mwanafunzi?

Ninawezaje kuwa mtoaji wa furaha zaidi?

Je! Biblia inatufundisha kuwa na imani kama ya watoto?

Ninawezaje kupata dhamiri safi?

Ni vitu gani hapa duniani vina thamani ya kweli ya milele?

Ni nini kiini cha kumwona Mungu kwa kweli?

Ninawezaje kujifunza kuamini kwamba Mungu ana udhibiti?

Ninawezaje kujua wa Mungu mpango i gani?

Ninawezaje kujua nini wakati gani wa Mungu?

Ninawezaje kushinda dhambi ya kawaida?

Kwa nini kuwapenda wengine mara nyingi ni vigumu sana?

Kwa njia gani kuwa Mkristo ni kuwa mwanamume / mwanamke mpya?

Wakati wa utulivu ni wakati gani?

Ni misingi gani ya kupinga majaribu?

Ninawezaje kujua kwa hakika kwamba hasira yangu ni hasira ya haki?

Ina maana gani kutakaswa?

Ninaweza kufanya nini wakati mimi ni chini ya mashambulizi ya kiroho?

Je! Tunahitaji kufahamu vita vya kiroho ambavyo hufanyika karibu nasi?

Ninawezaje kuongeza ufahamu wangu wa kiroho?

Safari ya kiroho ni nini?

Ukomavu wa kiroho ni nini? nawezaje kuwa mkomavu kiroho zaidi?

Biblia inasema nini kuhusu kutosamehe?

Ni kwa nini kumngojea Mungu ni jambo gumu sana?

Ina maana gani kumwabudu Bwana kwa roho na kweli?

Je! wanaume au wanawake Wakristo wanapaswa kuvaa vipuli kwa masikio?

Je! Mkristo anapaswa kuvaa mapambo ya vito ya kidini, kama vile sanamu ya Yesu Kristo msalabani?

Je, inawezekana kuwa mtakatifu, kwa vile ni Mungu pekee ndiye mtakatifu?

Ina maana gani kwa Mkristo kukua katika imani?

Je, ninawezaje kushinda kuwa na roho hakiki?

Je, nawezaje kushinda shinikizo la rika?

Kwani nini nibatizwe?

Ni kwa nini kumfuata Kristo ni ngumu?

Ni jinsi gani ukuu wa Mungu unafanya kazi pamoja na hiari huru?

Je! Ni vyema kuwa na urafiki wa karibu na wasio waumini?

Ninawezaje kuwa Mkristo mwema?

Je, ninawezaje kujua ikiwa ninamsikia Mungu, namsikia Shetani, au ninasikia mawazo yangu?

Biblia inasema nini kuhusu utakatifu? Je! ina maana gani kuwa mtakatifu?

Kumuishia Mungu—ni kwa nini ni vigumu kumuishia Mungu?

Je inamaanisha nini kumpenda Mungu?

Je, inamaanisha nini kumpenda yesu?

Je, ina maana gani kupenda kama Yesu?

Je, Wakristo wanapaswa kujali vile wanavyoonekana kimwili?

Je! inamaanisha nini kujisalimisha kwa Mungu?

Je, tunapaswa kutoa zaka kutoka kwa jumla ya mapato yetu au mapato baada faida?

Je! Ina maana gani kuwa “kuishi ni Kristo” (Wafilipi 1:21)?

Mkristo wa kweli ni nini?

Je, Mungu anataka nifanye nini?

Je! Wanawake Wakristo wanapaswa kuvaa suruali refu?

Ina maana gani kutembea na Mungu?

Jinsi gani naweza leta wasiwasi na matatizo yangu yote kwa Mungu?

Je, kuna maana katika mkasa?

Je, ninawezaje kujifunza kutumaini uaminifu wa Mungu?

Kwa nini siwezi koma kutenda dhambi? Tafadhali nisaidie?

Nimetenda dhambi. Je, ninahitaji kubatizwa tena?

Je, ni kwa nini inatajwa “mkubali Kristo” wakati wa kuinjilisha na ile hali hakujatajwa katika Biblia?

Nguzo kuu ya kuzaa matunda kama Mkristo ni gani?

Je! Ni wakati gani Mkristo anapaswa kumrekebisha Mkristo mwingine?

Uhuru wa Mkristo-Bibia inasema nini?

Ni kwa nini ni muhimu kumshukuru Mungu?

Ni kwa nini kuna nyakati ambapo Mungu huonekana kuwa kimya/hayupo katika maisha ya muumini?

Mungu ananionaje katika Kristo?

Je, ni namna gani tunapaswa kuishi maisha yetu kulingana na utambulisho wetu katika Kristo?

Furaha ya Bwana ni nini?

Je, ninawezaje kumpendeza Mungu?

Je, inamaanisha nini kuandama haki?

Je, inamaanisha nini kumweka Mungu kuwa wa kwanza?

Je, ninawezaje kugundua wito wangu wa kiroho?

Je, Mkristo anapaswa kuwa na mtizamo gani kuhusu michezo/riadha?

Je, ufunguo gani kwa ushindi katika kushindana na dhambi?

Mungu anahitaji nini kutoka kwangu?

Je, ninawezaje kupata shauku ya kuvuta nafsi kwa Kristo?

Je, ni makosa kutamani kitu?

Je, watu weusi wamelaaniwa?

Je, ni makosa kumlaumu Mungu? Je, kumlaumu Mungu ni dhambi?

Biblia inasema nini kuhusu tabia ya Kikristo?

Je, ni njia zipi za kivitendo za kumtegemea Mungu pekee?

Je, ni makossa kwa Mkristo kusongwa na mawazo?

Je, Mungu ana mpango nami?

Jinsi gani naweza kuepuka kuwezesha dhambi ya mtu mwingine?

Je! Ninaweza kufanya nini wakati sihisi upendo wowote kwa Mungu?

Je, ninawezaje kuwa na matumaini wakati kupata kazi nzuri inaonekana kuwa haiwezekani?

Je, inamaanisha nini kuwa huru kutoka kwa dhambi?

Je, Biblia inasema nini kuhusu kukula chakula kisichofaa?

Je, nitawezaje kuacha kufurahisha watu?

Je, Mungu anasema nini kunihusu?

Kwa nini Mungu aliniumba? Je, ni kwa nini Mungu akanitengeneza?

Je, Biblia inasema nini kuhusu kushughulikia majuto?

Je! Ninawezaje kuyatoa maisha yangu kwa Mungu?

Je, kuna uwezekano kuishi maisha yako na kufanya mambo ambayo yanamtukuza Mungu?

Je, kumpenda Mungu ni mhemko, hisia, au uamuzi?

Je, ni kwa nini ni muhimu kuwa na sadikisho za kibinafsi?

Je inamaanisha nini kuwa tunapaswa kuwa wepesi wa kusikiliza na si wepesi wa kuongea (Yakobo 1:19)?

Je, siri kuu ni gani ya kuishi maisha ya ushindi ya Kikristo?

Mungu anasema mini ni nani?

Je, ni kwa nini nisamehe?

Je, ina maana gani kuwa huwezi kutumikia mabwana wawili katika Mathayo 6:24?



Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili

Maswali kuhusu maisha ya kikristo
Shiriki ukurasa huu: Facebook icon Twitter icon Pinterest icon Email icon
© Copyright Got Questions Ministries